Deuteronomy 13:5

5 aHuyo nabii au mwota ndoto lazima auawe, kwa sababu amehubiri uasi dhidi ya Bwana Mwenyezi Mungu wenu, ambaye aliwatoa kutoka nchi ya Misri na kuwakomboa kutoka nchi ya utumwa; amejaribu kuwageuza kutoka njia ambayo Bwana Mwenyezi Mungu wenu aliwaagiza mfuate. Ni lazima mwondoe uovu miongoni mwenu.

Copyright information for SwhKC